If your pc is on an older side, consider going with 2k textures instead Aaaand finally, we get to cbbe 3ba You really should go through its description in detail Wananchi mtandaoni waiwakia kampuni ya pepsi kumuondoa diamond kama balozi wake watishia kutokunywa pepsi Hasira za wananchi je, zinaweza kupelekea vituo vya kampuni hio kulengwa kwenye maandamano yajayo ? Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza club maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo.
Picha ya diamond platnumz aliyopigwa summer jam 2025 yauzwa pesa ndefu, tsh milioni 1.3 na getty images kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, getty images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya diamond platnumz kwa $499 (tsh milioni 1.3/=). Wametafuta njia ya kuyachota mahela ya msanii diamond, njia pekee waliyoona ni kumwalika kwenye show na kutengeneza mazingira ya yeye kuvunja mkataba Paap akaingia kwenye mfumo kwa kuvunja mkataba na sasa anaelekea kudaiwa mabilioni kama fidia. Hatutegemei show za tanzania.bila atashow sisi tutakula atakama ni miaka kumikwasasa diamond anategemea sana biashara zake” mama dangote neno moja kwa mama dangote Uwezekano wa baba levo kupewa uwaziri wa michezo upo ,iwe kwa kutumia ushawishi wa diamond au yeye mwenyewe maana uwezo wa kujieleza anao Sasa swali langu lipo hivi, je diamond anaweza akawa chawa rasmi wa baba levo kama itatokea baba levo akaukwaa uwaziri?
Kwa jumla ya watazamaji milioni 125, diamond amewashinda wasanii wengine maarufu. Akizungumza na bongo fm msanii aliyeachiwa aondoke bure wcb, mbosso khan amesema kuwa anataka kumjibu diamond mwenyewe ila anasubiri aongee amjibu Ameyasema hayo akielezea kuhusu utunzi wa hitsong ya pawa ambayo babalevo alitusanua ukweli kuwa 50% ya wimbo umeandikwa na diamond Msanii wa bongo fleva, zuchu, ameandika barua ya wazi kwa diamond platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake wasafi fm, kupitia maudhui ya kipindi cha mashamsham Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa.
OPEN